Posts

Showing posts from May, 2023

UNAKIJUA CHA ASUBUHI WEWEEE! HEBU NJOO HAPA NIKUFUNDE

Image
   Mwanaume aliyekamilika lazima aamshwe asubuhi. Tena siyo kwa kurukaruka, la hasha! Mwamshe kwa utulivu,unapomwamsha mumeo asubuhi kwakumpa k.....a asubuhi na mapema kabla hamjatoka kitandani..... unajuwa kinachomtokea? moja utamwondolea uchovu👌🏽utamchangamsha👌🏽nakumfanya mwepesiiiiii na hapo atakuwa tayari kwa ujenzi wa taifaa hata chapa kazi hatari 😍Nadhani mpaka sasa ushajuwa mumeo unamwamshaje si ndio eee haya tuendelee Na hii inawahusu hasa wale wanawake wanao amka nakujifanya wapo bize kazi ndo kila kitu hivi ngoja niwambie mumeo akitoka akaenda kuamshwa na wenzio huko nnje hiyo kazi unayokimbilia mbiombio nakuiwaza muda wote itafanyika ❓mwingine akiwa na mabiashara ndo kabisaaa ukiuliza oooh mzigo umepanda mzigo umeshuka ooooh madeni ooooh nyoho nyoho fulu kujipa ubizee akidakwa huyo na wadakaji waliotoka kufundwa kwenye JUMBA LA MAHABA wakafundikaaaaaa👌🏽👌🏽 shogaa atageuka huyo atakukumbuka huyoo ....hata hizo biashara unazozizungumzia nakujipa ubize nazo uta...

KUWA MAKINI SANA NA WANAUME WALIOTOKA KUUMIZWA SANA

Image
Ni nadara sana kukutana na mtu ambaye hajawahi kuwa na mtu, wapo wanaokutana nao lakini wengi wetu tunatoka kwa wtau, kwa kifupi mapenzi ni kunyang’anyana. Wanaume mara nyingi wakiachwa huendelea na amisah yao, wanakua si watu wa kuomboleza muda mrefu, lakini pia kuna wale wanaume amabao wametoka kuachwa ile haswaa. Yaani kuachana na mwanamke amabye walimpenda sana, labda alikua ni mpenzi amabye kamsomesha, kamfanyia kila kitu lakini mwisho akaja kumuacha. Alikua ni mke, anamhudumia kila kitu, anamjali lakini akaja kuachwa au ni mpenzi tu hakua anamhudumia lakini aliachwa na baad aya kuachwa akawa kama mtu aliyechanganyikiwa. Kwa maana kuwa katoka kuachana na mpenzi wake, wakati mwingine hata si kwamba kaachwa lakini ni mwanamke wake alimfanyia kitu kibaya akaamua kumuacha, akawa hana namna akamuacha. Au hata wakati mwingine mwanaume ndiyo alikosea lakini akiamini kuwa mwanamke atamsamehe, kwamba mwanzo alizoea kila akikosea anasamehewa ila wmanamke akmuacha na hajarudi. Iwe vyovyote v...

KAMA ULIKUWA HUYAJUI HAYA HEBU NGOJA NIKWAMBIE

Image
  1. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 40, waliosoma sana na waliosoma kidogo, wote wanakuwa sawa tu, ni wakati huu majigambo ya certificates, diploma, degree, masters, PhD, hupotea kabisa. Ni katika umri huu, inawezekana mwenye elimu ndogo, akatengeneza pesa nyingi sana kuliko mwenye elimu kubwa. Waliosoma sana na waliosoma kidogo, wote wanakuwa sawa tu. 2. Kama ulikuwa haujui, ikifika umri wa miaka 50, mtu aliyesemekana kwamba alikuwa mrembo, na mtu a liyesemekana kwamba alikuwa ana sura mbaya, wote wanaanza kuwa sawa tu. Ni wakati huu, mikunjo usoni, vipara kichwani, mvi n.k, haviwezi kukwepeka tena. 3. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 60, watu wanakuwa wamestaafu kazi, aliyekuwa na cheo kikubwa na aliyekuwa na cheo kidogo, wote wanakuwa sawa tu. Ni wakati huu, hawa watu wanakuwa washikaji, wanaanza kukaa kijiwe kimoja, wanapiga story zenye idea zinazofanana, mara nyingi utawakuta makanisani au misikitini pamoja. 4. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 70, ...

DEAR LADIES Ni jukumu lako kuwa romantic kwa mumeo. Aibu yako isikuzuie kuonyesha mapenzi yako kwa mume wako.

Image
  SA Mtumie meseji mume wako anapokuwa kazini, muda mwingine hata kama yupo nyumbani mnaangalia TV chati nae katika mitandao ya kijamii (watsapp, Facebook etc) hata kama yupo mbele yako. Hii huleta faraja na ni njia mojawapo ya kuwa romantic kwa mwanaume wako. Jadiliana nae jinsi gani anavyokuvutia. Mnunulie zawadi hata leso, boxer, tai, viatu nk. Mnapokua mezani mkila pamoja labda nyama, mpe nyama kubwa kuliko zote. Kama muda unao mtengenezee keki na juice ya matunda na msuprise nayo. Wadada, tumieni sauti yenu laini kumbembeleza na kumdekea, muimbie mnapokua pamoja chumbani, acheni userious kama mpo kwenye kikao cha bodi ya Korosho. Mume wako anaporudi toka kazini usimkaribishe huku umenuna utafikiri shabiki wa Arsenal aliekosa kombe baada ya msimu wa ligi kuisha. Usimkaribishe mume wako huku mwili wako ukinukia mchuzi wa samaki au pilipili hoho, kuwa msafi na unukie. Wanaume hawapendi mwanamke mchafu. Mkaribishe kwa kumkumbatia kila siku, na asubuhi anapoenda kazi...

☕☕ASUBUH NJEMA MUME WANGU ☕☕

Image
  Habar za asubuh mpenzi kwanza nimshukul mwenyez Kwa kukulinda mume wangu kipenzi * *Kaa tambua wewe ndio mwanaume wa familia yangu wewe ndio baba Bora ajae wa wanangu tambua wewe ndio mume wa ndoto zangu please nivumilie Kwa mapunguf yang* * Natambua Kuna mengi nakukwaza Natambua Kuna mengi juu yangu unawaza Hila tambua kukosea Mimi sio wa kwanza wivu wangu kwako mda mwingine wanioonza Hila yote ni mapenz yangu yaliyopitiliza ubak na Mimi mwenzio umeniweza* * kwanza nikutakie asubuhi yenye baraka kwako mungu ajalie lizik nzuri kwako usisahau Mimi daima nipo upande wako nakuitaj sana lifaham ilo * * Kuna wakat nakumis ukiwa mbali Yan nasisimka ganzi inatawala Kwa mwili fanya uwai bas kurudi Leo nimemis mnooo penzi Lako wangu hayuni my hubby nakupenda jamooon mwenzio * * Ukilud nibebee zawad mzuriii mahana ndivyo umenizoesha mtoto wa mwenzio * *Nikutakie asubuh njema my hubby*