SMS ZA MAPENZI ZENYE UJUMBE MTAMU KWA MPENZI WAKO
hakika kama ni mume MUNGU kanipatia,kuwa nawe najiona kama malkia ,nakupenda mpz na daima nitaenzi penzi lako. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Nina habari nzuri nataka kukuambia kuna mgeni leo kaja kunitembelea,nguo nyekundu amevalia yaani!utamu wako kwa sasa siwezi kukupatia kwa maana mgeni kashakuharibia nakupenda dear •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Ni yangu mazoea kila cku cm yako kuipokea kama si meseji kunitumia leo naumia kila napo fikiria nini kimetokea hadi mawasiliano yetu yameanza kupotea,sawa tu.naamini hali ya kawida itarejea na majonzi moyoni yatanipotea nakupenda mpz •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Gusa hapa jiunge>> SMS TAMU ZA MAPENZI ZITAFUTE HAPA (MPYA) Nimezunguka pande zote za Tanzania macho nikiyaangaza kumsaka mrembo wakumkabidhi wangu moyo wenye upendo ndani yake na kulila TUNDA lake kwa nafasi huku nikimpa mahaba ya dhati na sikuwahi kuhisi kama wewe ndiye ulie uteka moyo wangu. nakupenda laaziz •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Raha ya ucngz ni ucngz . . . .”tamu”ya penzi ni ndoto ...