Mapenzi ni dhamira

 

🥀@""""""japo mapenzi ni dhamira, ila mm sijadhamiria kukudhamini ila kukumiliki. 🥀@""""""Huwa nifuraha kwangu ninapokuona u karibu nami. 🥀@"""""""Beb, napenda unavyovaa, napenda unavyocheka,🥀🥀🥀🥀 unavyonitizama na unavyotembea pia. 🥀🥀🥀🥀@""""""Mwendo wako wa malingo, jicho lako la huba na una mapenzi ya dhati kwangu.🥀🥀🥀 🥀
🥀🥀🥀@""""""""Nimekuweka moyoni mwangu milele, na akilini mwangu utaishi daima.
"Nakupenda mpenzi".🥀🥀
May be an image of 1 person

Comments