SMS ya kumuomba umpendaye akukubalie




Meseji ya kumwambia mpenzi unampenda peke yake

mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba

sili nikamaliza,mapenzi ni raha kamwe cwez

kuipeza,nakupenda wewe pekee

🔥♥♥♥

SMS ya kumuahidi mpenzi wako kuwa utaendelea kumpenda

Moyo wangu umehifadhi hisia zako, nakuahidi kamwe

sintopunguza upendo kwako, tunza sms hii ya

ahadi kwenye simu yako, iwe kumbukumbu kila uisomapo!

"NAKUPENDA MALAIKA WANGU"

🔥♥♥♥

SMS ya kumsisitiza mpenzi wako asiende kwa mwingine

chekecho la huba ,toka uvunguni mwa moyo wangu

navika moyo wako taji la upendo,na kupulizia marashi ya hubaa ,usimpe mwingine mi ndiye ninayejua kulea.

🔥♥♥♥

Meseji ya kumuomba mpenzi wako asikuache kwa kuwa unampenda sana

Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu,

siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu

muhimu, unaeng'aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha.

"NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANgu

🔥♥♥♥

SMS ya kumwambia umpendaye akijisikia upweke akukumbuke wewe kwani upo kwa ajili yake

Watu husema kwamba, awapo mtu mmoja tu akupendaye, maisha

hayajapoteza maana, kwa hiyo, ukijihisi mpweke hauhitaji

kuishi nikumbuke mimi.

🔥♥♥♥

SMS kali ya kimahaba kumwambia mpenzi wako unavyoogopa kwa kuwa unampenda sana

Mpenzi kwa mara ya kwanza nilipokuana niliogopa kukuambia,

hata nilipokuambia niliogopa kukupenda, nilipokupenda sasa

naogopa mno kukupoteza. Kusema kweli siko tayari kukukosa

katika maisha yangu.

🔥♥♥♥

Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa unampenda kila unapomtazama

Wanasema mtu huanguka katika mapenzi mara moja, jambo

ambalo mimi naliona si la kweli kwa maana kila

ninapokutazama najikuta nakupenda tena na tena.

🔥♥♥♥

Meseji nzuri ya kimahaba ya salamu kwa mpenzi

Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno

laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama

apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuletee

salamu "UHALI GANI MPENZI?"

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA❤️ KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO❤️

Maneno mazuri ya Usiku mwema

SMS ZA MAPENZI ZENYE UJUMBE MTAMU KWA MPENZI WAKO