SMS TAMU ZA MAPENZI





upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . .

upendo ni lugha ,

kwamba kila mmoja anaongea,

upendo hauwez kununuliwa,

na isiyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni

siri ya maisha matamu

nakupenda mpenzi

*°·.¸¸.° °·.¸¸.°*


Gusa hapa>> TAFUTA HAPA SMS ZA MAPENZI ZA MWEZI HUU (MPYA)


“Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napenda

kuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe”

nakupenda laazizi

“Kama mimi nilikuwa na maua kila wakati

mawazo yangu

yangekuwa juu yako,nisingefikiri wa kumpa mwingine kabla

yako je wewe ungekuwepo nayo

ungempa nani kwanza? ”

*°·.¸¸.° °·.¸¸.°*




ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na

likutumiwa vibaya halina maana wala thamani. neno hilo

haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila tu

Linatokea Bila kujua na halina sababu.neno hilo mi

mwenyewe silijui ila ndo linatufanya tuwe pamoja Japo tupo

Kasi Na Kusi. Nakupenda sana Dear Figganigga

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•



naukunjua moyo wangu huishi milele maishani ,nafungua

nafsi nikupende wewe pekee,nafunga milango ya moyo wangu

ili

kutokupokea ugeni wowote wa moyo zaidi yako

mpenzi.nakupenda sana laazizi

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi

yako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia

moyoni mwangu

mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

mapenzi si pombe lkn yanalewesha, wala si kidonda lakini

yanatonesha,wala si maradhi lakini yanaumiza, wala si

njaa lakini yanakondesha ,mapenzi ni uvumilivu kwa

unaempenda

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi ni

maradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi ni

kiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishe

maishani mwako na uwe asali moyoni mwangu

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

wengi hupenda fanta kwa ladha yake,wengine hupenda

pilipili kwa muwasho wake,wengine hupenda asali kwa utamu

wake ila mimi nakupenda wewe kwa upendo wako.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

nimetuma ndege wangu auzunguke ”moyo” wako kwa ” upendo

” auguse ”uso” wako kwa ”faraja” na mwisho

akunong’oneze sikioni taratibu kuwa nakupenda.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenzi ni

zawadi tabasamu nibusu niambie kiasi gani unanpenda,naweza

kusema asilimia kubwa jina lako limezunguka kuta wa moyo

wangu.kamwe jina lako haliwezi kufutika.nakupenda sana Figganigga

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

teke la kuku halimuumzi mwanaye sawa na dhati ya mapenzi

haiumzi moyo wa ampendaye,tugombane sasa hivi tupatane

badaye,najua hakuna wasiogombana ,kama wapo siku

wakigombana wataachana.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•



Furaha yangu ni kuwa nawe kwani u zaid ya mboni

yangu,najisifu kuwa nawe maishani mwangu naamini itatokea

kutokuwa mbali nawe mpz wangu,unisahaulishe machungu na

karaha za huu ulimwengu .nakupenda dia

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•


>>———>>> Mshale huu unamtafuta mtu muhimu sana ktk

maisha yangu na kama umekutana nao

usiukwepe uache

uchome Moyo wako gharama

za matibabu juu yangu.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

sioni zawadi ya kukupatia kwa mapenzi

unayonipatia,

moyoni nimekuridhia wewe pekee penzi langu daima

kukupatia nakupenda

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA❤️ KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO❤️

Maneno mazuri ya Usiku mwema

SMS ZA MAPENZI ZENYE UJUMBE MTAMU KWA MPENZI WAKO